Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanahabari waweka maisha yao rehani kuripoti masuala ya mazingira

05.03.2024 - By United NationsPlay

Download our free app to listen on your phone

Download on the App StoreGet it on Google Play

Leo ikiwa ni siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani maudhui yakiwa ni Uandishi wa Habari wakati huu wa janga la mazingira, Anold Kayanda wa Idhaa hii ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa akimulika sakata la vifo vya waandishi wa habari wanaoweka maisha yao rehani kuripoti masuala ya mazingira. 

More episodes from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu