Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanawake Tanzania wainua wanawake wenzao katika ujasiriamali kupitia mradi wa CookFund

04.29.2024 - By United NationsPlay

Download our free app to listen on your phone

Download on the App StoreGet it on Google Play

Nchini Tanzania mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuendeleza mitaji, UNCDF uitwao CookFund unaofadhiliwa na Muungano wa Ulaya umesaidia wajasiriamali hasa wanawake kuinua wanawake wenzao kwenye sekta ya matumizi ya nishati jadidifu na hivyo kutekeleza ajenda ya 2030 ya Umoja wa Mataifa ya sio tu kuondokana na umaskini bali pia kuhimili na kukabili mabadiliko ya tabianchi.

More episodes from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu