Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii

Watu wenye ulemavu – Kipindi 05 – Masikini hohehahe


Listen Later

Mama na mwanawe wa kiume wanahimizana kwamba mustakabali wao sio mbaya vile. Wakati huo huo, Theresa anafichua jambo kwa Tofa na Fagilio anagundua kwamba mwanawe wa kiume anafuata nyayo zake za kujutia.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Noa Bongo - Afya na Masuala ya JamiiBy DW.COM | Deutsche Welle