Usijaribu kuwa vile ulivyo tayari....
Usijitahidi kupata kile ulichonacho tayari... sema tu, Ndiyo.
Mfuate Bwana Yesu na atakufanya kuwa mvuvi wa watu.
Jifunze namna ya kufuata kupitia somo na ona badiliko la kipekee katika huduma yako ndani ufalme wa Mungu.