Neno la Mungu ni kioo, kinachoweza kubadili muonekano wako, Roho, nafsi na mwili. Kila unapojitizama katika hichi Kuna badiliko linatokea kutoka utukufu hadi utukufu, Imani hadi Imani! Tafakari neno la Mungu kila siku uone badiliko lake maishani Mwako.