Wimbi la Siasa

Chama cha Wananchi CUF chakumbwa na misukosuko


Listen Later

Chama cha upinzani nchini Tanzania cha CUF kimeendelea kukumbwa na misukosuko ya kisiasa baada ya Mwenyekiti wake aliyewahi kuandika barua ya kujiuzulu Profesa Ibrahim Lipumba na baadaye kutaka kurejea katika kiti chake. Kama kwamba hiyo haitoshi chama hicho kimetangaza kumfuta kazi Lipumba huku yeye akijinasibu kuwa yeye ndiye mwenyekiti halali. Je hii ishara ya CUF kuparaganyika au kuimarika? Ungana na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa kupata mustakabali wa suala hilo.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Wimbi la SiasaBy RFI Kiswahili


More shows like Wimbi la Siasa

View all
Muziki Ijumaa by RFI Kiswahili

Muziki Ijumaa

2 Listeners

Gurudumu la Uchumi by RFI Kiswahili

Gurudumu la Uchumi

0 Listeners

Habari RFI-Ki by RFI Kiswahili

Habari RFI-Ki

1 Listeners

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii by RFI Kiswahili

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

0 Listeners

Nyumba ya Sanaa by RFI Kiswahili

Nyumba ya Sanaa

0 Listeners

Mjadala wa Wiki by RFI Kiswahili

Mjadala wa Wiki

0 Listeners

Afrika Ya Mashariki by RFI Kiswahili

Afrika Ya Mashariki

0 Listeners

Jua Haki Zako by RFI Kiswahili

Jua Haki Zako

0 Listeners

Jukwaa la Michezo by RFI Kiswahili

Jukwaa la Michezo

0 Listeners