
Sign up to save your podcasts
Or


Katika makala haya tunajdili Juma lililopita wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kumteua rais wa Uganda, Yoweri Museveni kuwa mwenyekiti mpya wa Jumuiya hiyo, huku wakitangaza mabadiliko kadhaa muhimu waliyosema yanalenga kuifanya jumuiya kutosambaratika.
Miongoni mwa mabadiliko ni pamoja na nchi wanachama kuwalipa mshahara wabunge wao na namna nchi zinazodaiwa zitalipa madeni yake.
Unafikiri mabadiliko haya yatasaidia Jumuiya Kukua?
Skiza maoni ya mskilizaji.
By RFI Kiswahili5
11 ratings
Katika makala haya tunajdili Juma lililopita wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kumteua rais wa Uganda, Yoweri Museveni kuwa mwenyekiti mpya wa Jumuiya hiyo, huku wakitangaza mabadiliko kadhaa muhimu waliyosema yanalenga kuifanya jumuiya kutosambaratika.
Miongoni mwa mabadiliko ni pamoja na nchi wanachama kuwalipa mshahara wabunge wao na namna nchi zinazodaiwa zitalipa madeni yake.
Unafikiri mabadiliko haya yatasaidia Jumuiya Kukua?
Skiza maoni ya mskilizaji.

378 Listeners

2 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

1 Listeners

0 Listeners

0 Listeners