Learn Swahili with SwahiliPod101!
Don't forget to stop by SwahiliPod101.com for more great Swahili Language Learning Resources!
-------Lesson Dialog-------
----Formal Swahili----
NINI IKO ANGANI
NJE YA HII DUNIA
Angalia juu angani
Wewe hujiuliza nini iko huko?
Wacha tujue!
NYOTA
Usiku ukiwa wazi, unaweza ona nyota nyingi sana.
Nyota ni vitu zilizo kwa hewa na zimetengenezwa kwa gesi inayochomeka.
Nyota hukaa ndogo kwa sababu ziko mbali sana.
Jua ni nyota.
Ndio nyota ya pekee inayoonekana mchana.
Aina ya vikundi vya nyota ziko na majina.
Zinafanana na watu ama wanyama.
MWEZI
Mwezi ni mpira mkubwa wa jiwe.
Mwezi hukaa ndio kitu kubwa zaidi angani wakati wa usiku.
Inakaa kubwa kwa sababu iko karibu na Jua.
Mwezi hautengenezi mwangaza.
Mwezi huangaza kwa sababu ya jua.
Jua huangaza nusu mwezi kwa wakati mmoja.
Nusu ingine iko giza.
Mwezi hukaa tofatuti nyakati zingine za mwezi.
Mwezi huzunguka dunia.
Sisi huona mwezi sehemu tofauti zilizong'aa wakati tofauti.
Wakati wa mchana mwezi huenda mbele ya jua.
Mwezi huzuia miale ya jua.
SAYARI
Sayari ni vitu kubwa zinazozunguka nyota moja.
Dunia ni sayari tunayoishi.
Tunaweza ona sayari tano angani usiku.
Nazo ni Zebaki, Zuhura, Masi, Jupita na Zohali.
Jua huangaza nusu mwezi kwa wakati mmoja.
Nusu ingine iko giza
Dunia huzunguka kama kifuniko.
Tuko na Mchana na usiku kwa sababu Dunia huzunguka.
Dunia huzunguka Jua.
Dunia huzunguka jua safari moja kila mwaka.
Anga hukaa tofauti, nyakati tofauti za mwaka.
COMETI NA NYOTA ZINAZOWAKA
Cometi ni vumbi na barafu zinazo zunguka jua.
Cometi ziko na mikia mirefu.
Nyota zinazowaka kupaa angani usiku.
Nyota zinazo waka ni mawe yawakayo moto na kupaa angani ikienda duniani.
Ukipepesa macho utazikosa.
----Formal English----
WHAT’S IN THE SKY?
OUT OF THIS WORLD
Look up in the sky.
Do you ever wonder what’s up there?
Let’s find out!
STARS
On a clear night, you can see many stars.
Stars are objects in space that are made of burning gases.
Stars look small because they are very far away.
The sun is a star.
It is the only star we see during the day.
Some groups of stars have names.
They look like people or animals.
THE MOON
The moon is a big ball of rock.
The moon looks like the biggest object in the night sky.
It looks big because it is close to Earth.
The moon does not make light.
The moon looks bright because the sun shines on it.
The sun only shines on half of the moon at a time.
The other half of the moon is dark.
The moon looks different at different times of the month.
The moon moves around Earth.
We see different parts of the moon’s bright side at different times.
Sometimes the moon moves in front of the sun during the day.
The moon blocks the sun’s rays.
PLANETS
Planets are big objects that move around a star.
Earth is the planet we live on.
We can see five planets in the night sky.
They are Mercury, Venus, Mars, Jupiter, and Saturn.
The sun shines on half of Earth at a time.
The other half is dark.
Earth spins like a top.
We have day and night because Earth spins.
Earth moves around the sun.
Earth makes one trip around the sun each year.
The night sky looks different at different times of the year.
COMETS AND SHOOTING STARS
Comets are bits of dust and ice that move around the sun.
Comets have long tails.
Shooting stars fly through the night sky.
Shooting stars are small space rocks that burn up as they fly toward Earth.
If you blink, you will miss them!
---------------------------
Learn Swahili with SwahiliPod101!
Don't forget to stop by SwahiliPod101.com for more great Swahili Language Learning Resources!