Jukwaa la Michezo - Changamoto za marefarii barani Afrika
Soka la bara la Afrika, limeendelea kushuhudia changamoto mbalimbali za waamuzi au marefarii, huku baadhi wakikosa maadili kwa kujihusisha na upangaji wa matokeo na kutofuata ipasavyo sheria 17 za mchezo huu unaopendwa duniani, kama ilivyoshuhudiwa nchini Tanzania na uongozi wa nchi hiyo kuchukua hatua.
Jukwaa la Michezo - Changamoto za marefarii barani Afrika
Soka la bara la Afrika, limeendelea kushuhudia changamoto mbalimbali za waamuzi au marefarii, huku baadhi wakikosa maadili kwa kujihusisha na upangaji wa matokeo na kutofuata ipasavyo sheria 17 za mchezo huu unaopendwa duniani, kama ilivyoshuhudiwa nchini Tanzania na uongozi wa nchi hiyo kuchukua hatua.