Makala ya 40 kutafuta ubingwa wa mchezo wa soka katika nchi za Afrika Mashariki na Kati, yamefungua milango yake jijini Kampala nchini Uganda. Pamoja na hillo, michuano ya klabu bingwa barani Afrika, hatua ya makundi inachezwa katika viwanja mbalimbali barani Afrika.Tunachambua matukio haya mawili, miongoni mwa mengine.