Juma hili, Ali Bilali amezungumza na mwanamuziki chipukizi kuotka Mkoani Tanga ambae anatafuta njia za kutoka na kukubalika kama walivyo wanamuziuki wengine waliomtangulia kutoka mkoani Tanga. Mengi zaidi ambatana naye hapa na usikosi kumfollow kwa instagram kwa kuandika @billy_bilali
Juma hili, Ali Bilali amezungumza na mwanamuziki chipukizi kuotka Mkoani Tanga ambae anatafuta njia za kutoka na kukubalika kama walivyo wanamuziuki wengine waliomtangulia kutoka mkoani Tanga. Mengi zaidi ambatana naye hapa na usikosi kumfollow kwa instagram kwa kuandika @billy_bilali