Msanii chipukizi katika tasnia ya Muziki nchini Tanzania Masai Prince, juma hili ametembelea studio za RFI Kiswahili na kuzungumza na mtangazaji wako Ali Billy bilali kuhusu muziki wake na nini kilichomvutia katika tasnia hii. Usikosi pia kutufollow kwa instagram kwa kugomba hapa @billy_bilali
Msanii chipukizi katika tasnia ya Muziki nchini Tanzania Masai Prince, juma hili ametembelea studio za RFI Kiswahili na kuzungumza na mtangazaji wako Ali Billy bilali kuhusu muziki wake na nini kilichomvutia katika tasnia hii. Usikosi pia kutufollow kwa instagram kwa kugomba hapa @billy_bilali