Serikali ya Sweden iko tayari kuingilia kati mvutano wa kisiasa nchini Uganda na kuwasuluhisha wanasiasa wanaotofautiana yaani Rais Yoweri Museveni na mpinzania wake Kiiza Besigye. Je jitahada hizo zinaweza kuwa mwarobaini kile kinachoendelea nchini Uganda? Ungana na Victor Robert Wile kupata undani wa mada hiyo katika Makala ya Wimbi la Siasa.