Katika Kongamano la  74 la  mataifa wanachama wa shirika la afya duniani ,ambalo limeratibiwa kufanyika mwezi huu,mojawapo ya agenda kuu ni suala  afya ya akili  baada ya matatizo mengi  ya kiakili kuripotiwa wakati huu wa Corona ,maofisa wa usalama wengi wakiripotiwa kutumia silaha vibaya au kujitoa uhai namna  ambavyo imeendelea kuongeza mzigo zaidi kwenye huduma za afya ambazo zimelemewa na makali ya Corona.