Faida za mazoezi ya Yoga kwenye mwili wa mwanadamu
Yoga ni mazoezi ya mwili yanayoongeza nguvu kwa misuli na kunyoosha mifupa lakini pia yoga inalenga kuunganisha mwili, ufahamu, na akili kwa pamoja. Hivyo ni tofauti kabisa na aina nyingine za mazoezi.Sikiliza makala haya kwa ufahamu zaidi.
Faida za mazoezi ya Yoga kwenye mwili wa mwanadamu
Yoga ni mazoezi ya mwili yanayoongeza nguvu kwa misuli na kunyoosha mifupa lakini pia yoga inalenga kuunganisha mwili, ufahamu, na akili kwa pamoja. Hivyo ni tofauti kabisa na aina nyingine za mazoezi.Sikiliza makala haya kwa ufahamu zaidi.