Kwenye makala haya tunaangazia hali ya huduma za afya na hali ya wahudumu wa afya barani Afrika ,wakati huu ukanda huu ukiripoti kuongezeka kwa magonjwa ya milipuko.Shirika la afya duniani linasikitika kuwa wahudumu wa afya wanandelea kupoteza maisha wakati wanahudumia wagonjwa wakati wa magonjwa ya milipuko. Baada ya janga la Corona ,mataifa kadhaa ya Afrika yanashuhudia msambao wa ugonjwa wa Ebola