Ungana na Mtangazaji Erick Paschal katika Kipindi cha Elimu Jamii, Mada inayozungumziwa ni Muendelezo mwa mada ya Usalama Mtandaoni, Wawezeshaji kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, TCRA, Robin Lukae Afisa wa Mawasiliano kutoka TCRA, Alfa Wawa Afisa Uhusiano kutoka TCRA pamoja na Bi. Consolata William Afisa Mawasiliano kutoka TCRA.