Katika makala haya ,tunazungumiza tatizo la usugu wa  vimelea  vinvyosababisha magonjwa tofauti au Anti Microbial Resistance  kwa lugha ya Kiingereza.Tatizo hili hutokea wakati bakteria ,virusi au Fungi zinavyjibadilisha na kukataa dawa ambazo zinatumika kwa matibabu mbali mbali  na kumweka mgonjwa katika hatari ya kuugua zaidi au hata kusababisha kifo.