Karibu katika makala ya Siha Njema leo tunaangazia virusi vya Murbag ambavyo vimethibitika kuwepo nchini Uganda.Watu wawili wameelezwa kufariki dunia wakati huu kadhaa wakitengwa na kufanyiwa uchunguzi wa kiafya..kujua zaidi fuatana nami ..
Karibu katika makala ya Siha Njema leo tunaangazia virusi vya Murbag ambavyo vimethibitika kuwepo nchini Uganda.Watu wawili wameelezwa kufariki dunia wakati huu kadhaa wakitengwa na kufanyiwa uchunguzi wa kiafya..kujua zaidi fuatana nami ..