Share Wanawake wa Imani
Share to email
Share to Facebook
Share to X
Katika kipindi hiki, Mama Neema (Inge-Marie Roager) anaongea kuhusu kupendwa na Mungu, na jinsi Mungu ana haja na sisi zote.
Mama Neema anasungumsia juu ya maada mgumu sana, na anakuambia kwamba Mungu anakupenda kwa sababu alikuumba.
Mama Neema anaongea kuhusu jinsi Yesu anatutafuta na maana yake ni nini, pamoja na kutuzimuliza hadithi.
Mama Neema hupitia historia ya Mwanamke Msamaria kutoka kwenye Biblia, na anazungumzia maana yake kwetu sisi wanawake wa leo.
Dorena Jakobo, “Mama Eliyah”, alilelewa katika familia ya kipangani, lakini alivutwa na mambo ya kanisani. Mama Neema anaongea na Dorena Jakobo aliyekutana na vikwazo vingi maishani mwake.
Dorena Jakobo, "Mama Eliyah", ni mtoto mdogo katika familia yake na amekutana na vikwazo vingi maishani, hata hivyo, baba yake mzazi aliokoka kupitia yeye. Sikiliza na utabarikiwa na ushuhuda wa Dorena Jakobo. Hii ni sehemu ya pili katika ushuhuda wake.
The podcast currently has 13 episodes available.