Siha Njema

Watu wengi wanajikuta na magonjwa ya figo na ini,watoto wengi Sudan wakiaga


Listen Later

Kuna ongezeko la magonjwa ya figo na ini kwa mujibu wa shirika la afya duniani

WHO inabashiri kuwa ongezeko hilo litakuwa juu zaidi kufikia mwaka 2030 ,hali hii ikichangiwa na hali ya maisha haswa ya raia katika nchi zinazoendelea

Ugonjwa wa ini maarufu Hepatitis pia ni tishio kubwa haswa kwa raia wa Afrika ambayo inachangia asilimia 63 ya visa vya Hepatatis

Nchini Sudan watoto wengi haswa walio chini ya umri wa miaka mitano wanazidi kupoteza maisha kutokana na utapiamlo unaohusishwa na ukosefu msaada  wa kibinadaam wakati huu vita vikiendelea kurindima

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Siha NjemaBy RFI Kiswahili


More shows like Siha Njema

View all
Appels sur l'actualité by RFI

Appels sur l'actualité

22 Listeners

Archives d'Afrique by RFI

Archives d'Afrique

85 Listeners

公民论坛 by RFI - 法国国际广播电台

公民论坛

3 Listeners

Jaridun Duniya - RFI by RFI Hausa

Jaridun Duniya - RFI

0 Listeners

 by RFI Brasil

1 Listeners

 by RFI Tiếng Việt

14 Listeners

 by RFI ខេមរភាសា / Khmer

2 Listeners

 by RFI Kiswahili

0 Listeners