Sign up to save your podcastsEmail addressPasswordRegisterOrContinue with GoogleAlready have an account? Log in here.
FAQs about Afya Talk:How many episodes does Afya Talk have?The podcast currently has 42 episodes available.
February 11, 2021Tatizo La Kufa Wakati Wa Tendo La Ndoa - Dr. Kalegamye, MD.Siri za Afya Bora Episode I....more10minPlay
January 28, 2021Asante Kwa Msimu Wa Kwanza.Nawashukuru sana kwa kunifuatilia kwenye Msimu wa kwanza! Kuanzia Mosi Februari 2021 Msimu wa Pili ulioboreshwa utaanza rasmi. Usikosee, Endelea kushirikisha watu mbalimbali. #AfyaTalk #Tanzania...more5minPlay
January 12, 2021Afya Talk EP18: Saratani Ya TitiJifunze kuhusu Saratani ya Titi; Ni nini? Sababu, Matibabu nk. Shirikisha wengine pia. Pia niwatakie Mapinduzi Mema! #DaktariMtalii #AfyaTalk #Tanzania...more14minPlay
January 09, 2021Afya Talk EP17: BawasiliJe Bawasili ni nini? Inasababishwaje, njia za kujikinga nk! Leo tujitunze kuhusu Bawasili. Mshirikishe mwengine. #AfyaTalk #Tanzania #DaktariMtalii...more8minPlay
January 08, 2021Afya Talk EP16: Njia za Uzazi wa Mpango.Tuangazie kuhusu njia mbalimbali za uzazi wa mpango. Je njia gani ni sahihi kwako?! Tuambie kupitia #AfyaTalk kwenye mitandao ya Kijamii. #Tanzania #DaktariMtalii...more15minPlay
January 05, 2021Afya Talk EP15: Maambukizi na Magonjwa ya Zinaa, Maswali na Majibu.Tunapoanza 2021 ni vyema pia kutazama Magonjwa na Maambukizi ya Zinaa. Tusichukulie Poa, tupime Afya zetu na tujilinde. Shirikisha wengine #Tanzania #AfyaTalk #DaktariMtalii...more16minPlay
January 04, 2021Afya Talk EP14: Njia salama za kupunguza uzito.Kheri ya Mwaka Mpya! Leo tutatazamia njia za kupunguza Uzito! Chakula, Mazoezi na mwenendo wa Maisha ndizo nguzo kuu. Karibu sana #DaktariMtalii #Tanzania...more12minPlay
December 18, 2020Afya Talk EP13: MalariaMalaria ni Ugonjwa hatari! Vifo zaidi ya 400,000 mwaka 2019 Vilitokana na Malaria; huku takribani 94% ni barani Afrika. Leo tuangazie Malaria. #AfyaTalk #DaktariMtalii #Tanzania...more11minPlay
December 17, 2020Afya Talk EP12: Homa Ya IniLeo tunatizama kuhusu Homa ya Ini: Kujua kazi za Ini, chanzo cha Ugonjwa wa homa ya Ini, aina, na Njia za kujilinda. Karibu na shirikisha wengine. #AfyaTalk #DaktariMtalii #Tanzania...more15minPlay
December 16, 2020Afya Talk EP11: Homa Ya Matumbo ‘Typhoid’Karibu tena kwenye Afya Talk: leo tunaitazama homa ya matumbo ‘Typhoid’ jifunze Njia za kukabiliana nayo! #DaktariMtalii #AfyaTalk #Tanzania...more13minPlay
FAQs about Afya Talk:How many episodes does Afya Talk have?The podcast currently has 42 episodes available.