Sign up to save your podcastsEmail addressPasswordRegisterOrContinue with GoogleAlready have an account? Log in here.
FAQs about Afya Talk:How many episodes does Afya Talk have?The podcast currently has 42 episodes available.
December 09, 2020Afya Talk EP10: Kisukari Kinavyoshambulia FigoTukiwa tumeanza kuzungumza kuhusu Figo, awali tulijifunza kazi za Figo sasa tunaanza kutazama magonjwa mbalimbali: leo tunatazama athari za Kisukari kwenye Figo. #AfyaTalk #DaktariMtalii #Tanzania...more10minPlay
December 07, 2020Afya Talk EP09: Fahamu Kuhusu Figo IMara baada ya kujifunza kuhusu Shinikizo la Damu na Kisukari, leo tunaangazia Figo. Karibu uweze kujifunza Figo ni nini na inafanya kazi gani kwenye sehemu ya kwanza. #DaktariMtalii #AfyaTalk #Tanzania...more12minPlay
December 05, 2020Afya Talk EP08: Upungufu/Ukosefu wa Nguvu za Kiume!Mara baada ya kuzungumza kuhusu Shinikizo la Damu na Kisukari, leo tunaanza kuzungumza baadhi ya madhara. Tunaanza kwa kutazama ukosefu/upungufu wa Nguvu za Kiume. #AfyaTalk #DaktariMtalii #Tanzania...more15minPlay
December 04, 2020Afya Talk EP07: Kisukari IIILeo nahitimisha mada juu ya kisukari kwa kuangazia hasa vyakula na visababishi vya Ugonjwa wa kisukari. #AfyaTalk #DaktarMtalii #Tanzania...more9minPlay
December 03, 2020Afya Talk EP06: Kisukari IISehemu ya Leo tunaendelea na mada ya kisukari. Karibu na endelea kujifunza nami. #DaktariMtalii #AfyaTalk #Tanzania...more9minPlay
December 02, 2020Afya Talk EP05: Kisukari IKaribu tuanze mada ya Ugonjwa wa Kisukari. Sehemu Hii ya kwanza inaheleza kuhusu maana ya kisukari, dalili na upimaji wake. Usiache kushirikisha wengine. #DaktariMtalii #Tanzania #AfyaTalk...more13minPlay
December 01, 2020Afya Talk: Siku ya UKIMWI Duniani 2020Kipindi Maalumu kifupi kuhusu Ugonjwa wa UKIMWI! SIkiliza ujifunze haya machache. Hakikisha unapima Afya yako sasa! Vijana Tujilinde, UKIMWI UPO - Usichukulie Poa....more12minPlay
December 01, 2020Afya Talk EP04: Shinikizo la Damu ‘Recap’Sehemu ya leo ni majumuisho kwa ufupi kuhusu shinikizo la damu tukiangazia maana, upimajia, dalili, hatari na namna ya kujilinda. Asante tuendelee kushirikisha kuhusu Afya Talk....more14minPlay
November 30, 2020Afya Talk EP03: Shinikizo la Damu IIILeo tunaangazia madhara ya Shinikizo la Damu pamoja na Njia za kufanya kujilinda na Shinikizo la Damu....more13minPlay
November 28, 2020Afya Talk EP02: Shinikizo La Damu IIBaada ya kuzungumza kuhusu nini maana ya Shinikizo la Damu na Dalili zake, Karibu sehemu ya pili ujifunze kuhusu vyanzo, namna ya kugundulika na usomaji awali wa kipimo cha msukumo wa Damu....more15minPlay
FAQs about Afya Talk:How many episodes does Afya Talk have?The podcast currently has 42 episodes available.