Sio kweli kwamba kuwa na ukurasa unaovutia na kupendeza, ndio tiketi ya wewe kupata mauzo kila wakati. Kuna watu wanauza zaidi yako na kurasa zao sio za kupendeza sana ( Sijamaanisha ni mbaya, ila focus yako yote isiwe kupendezesha ukurasa tuu)
Katika episode hii nimekupa mambo 8 yanayo uwa mauzo yako Instagram kwa wewe mfanyabiashara au mjasiriamali
Nimezungumzia:
1. Bio isiyoeleweka
2. Kutochapisha maudhui mara kwa mara
3. Picha, video ma design mbaya
4. Kutoweka caption kwenye chapisho lako
5. Kutojionyesha sura yako
6. Kutoshare mirejesho au shuhuda
7. Kutoweka bajeti ya kutosha kwenye masoko
8. Kutojua namna ya kufunga mauzo DM au Whatsapp
Ukiwa unasikiliza chukua screenshoot na post kwenye instastory yako kisha unitag @mjasiriamalidigital
Usisahau ku subscribe na kuipa 5 stars ratings na review kwenye Apple Podcasts
Niulize swali hapa https://www.instagram.com/mjasiriamalidigital
Kutangaza biashara yako
Email: [email protected]
Host IG:
https://www.instagram.com/amanilongishu
Mjasiriamali Digital Podcast episode 33