
Sign up to save your podcasts
Or


Serikali ya Kinshasa na waasi wa AFC/M23 mbioni kusaini makubaliano ambayo kimsingi yanaleta matumaini ya kufikia amani mashariki mwa nchi hiyo, Tanzania yazindua dira ya maendeleo 2050 kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, umoja wa mataifa wasema hali ya kibinadamu nchini Sudan si ya kuridhisha, rais Paul Biya, kiongozi mkongwe sana duniani na umri wa miaka 92 kuwania urais kwa muhula wa nane, umoja wa ulaya kutishia kuiwekea Urusi vikwazo vipya na hali ya nchini Syria
By RFI KiswahiliSerikali ya Kinshasa na waasi wa AFC/M23 mbioni kusaini makubaliano ambayo kimsingi yanaleta matumaini ya kufikia amani mashariki mwa nchi hiyo, Tanzania yazindua dira ya maendeleo 2050 kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, umoja wa mataifa wasema hali ya kibinadamu nchini Sudan si ya kuridhisha, rais Paul Biya, kiongozi mkongwe sana duniani na umri wa miaka 92 kuwania urais kwa muhula wa nane, umoja wa ulaya kutishia kuiwekea Urusi vikwazo vipya na hali ya nchini Syria

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners

0 Listeners