Hatua ya rais wa Senegal kutangaza kutowania muhula mwengine
Hatua hiyo rais Macky Sall, imesifiwa nje na ndani ya taifa lake baada ya kuwepo hofu kuwa angetangaza kuwania tena. Rueben Lukumbuka amezungumza na wachambuzi wa siasa kuhusu suala hili.
Hatua ya rais wa Senegal kutangaza kutowania muhula mwengine
Hatua hiyo rais Macky Sall, imesifiwa nje na ndani ya taifa lake baada ya kuwepo hofu kuwa angetangaza kuwania tena. Rueben Lukumbuka amezungumza na wachambuzi wa siasa kuhusu suala hili.