Karibu mpenzi msikilizaji katika Makala haya ya Changu chako Chyako Changu ambapo leo tunazungumzia kuhusu Ufalme wa Buganda huko Uganda, na kwenye le parler francophone tunazungumzia kuhusu Tamasha la muziki wa wakongwe wa Bongo Fleva na kwenye Muziki nakuletea mwanamuziki kutoka nchini Uganda, Jose Chameleon, mimi naitwA Ali Bilali Bienvenue et bon reveille matinale.
Karibu mpenzi msikilizaji katika Makala haya ya Changu chako Chyako Changu ambapo leo tunazungumzia kuhusu Ufalme wa Buganda huko Uganda, na kwenye le parler francophone tunazungumzia kuhusu Tamasha la muziki wa wakongwe wa Bongo Fleva na kwenye Muziki nakuletea mwanamuziki kutoka nchini Uganda, Jose Chameleon, mimi naitwA Ali Bilali Bienvenue et bon reveille matinale.