Wimbi la Siasa

Kamatakamata ya wapinzani kwenye mataifa ya Afrika nini hatma yake?


Listen Later

Makala ya wimbi la siasa hii leo inaangazia hali ya kamata kamata inayotekelezwa na vyombo vya usalama dhidi ya wapinzani kwenye mataifa kadhaa ya Afrika mfano huko DRC Salomon Idi Kalonda mshauri wa kisiasa wake Moise Katumbi, hali kama hiyo inashuhudiwa pia huko Burundi katika chama cha upinzani cha CNL, Nchini Senegal huko na Kinara wa Upinzani Ousmane Sonko alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kufuatia tuhuma za ubakaji. Mwandishi wetu Reuben Lukumbuka amewaalika Mali Ali ni mchambuzi wa siasa za Nchi za maziwa makuu akiwa Visiwani Mayotte na pia Francois Alwende ni mchambuzi na mataalamu wa siasa za DRC akiwa Jijini Nairobi nchini Kenya
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Wimbi la SiasaBy RFI Kiswahili


More shows like Wimbi la Siasa

View all
Habari zote by RFI Kiswahili

Habari zote

0 Listeners

Habari RFI-Ki by RFI Kiswahili

Habari RFI-Ki

0 Listeners

Afrika Ya Mashariki by RFI Kiswahili

Afrika Ya Mashariki

0 Listeners

Changu Chako, Chako Changu by RFI Kiswahili

Changu Chako, Chako Changu

0 Listeners

Nyumba ya Sanaa by RFI Kiswahili

Nyumba ya Sanaa

0 Listeners

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii by RFI Kiswahili

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

0 Listeners

Gurudumu la Uchumi by RFI Kiswahili

Gurudumu la Uchumi

0 Listeners

Siha Njema by RFI Kiswahili

Siha Njema

0 Listeners

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho by RFI Kiswahili

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

0 Listeners

Jukwaa la Michezo by RFI Kiswahili

Jukwaa la Michezo

0 Listeners

Muziki Ijumaa by RFI Kiswahili

Muziki Ijumaa

0 Listeners

Jua Haki Zako by RFI Kiswahili

Jua Haki Zako

0 Listeners

Talisman Brisé by RFI Kiswahili

Talisman Brisé

0 Listeners