Kasi ya sanaa ya muziki wa Injili mashariki mwa DRC kufuatia mapigano yasiyokoma
Faraja Habakuki Group ni kundi la muziki wa Injili kutoka mkowa wa Kivu Kusini eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambako vijana wadogo wameanza kujitokeza na kufanya sanaa ya muziki wa Injili, kuepukana na umasikini lakini pia hofu ya mapigano ya mara kwa mara katika eneo hilo. Ungana na Steven Mumbi akizungumza na Kundi hilo.
Kasi ya sanaa ya muziki wa Injili mashariki mwa DRC kufuatia mapigano yasiyokoma
Faraja Habakuki Group ni kundi la muziki wa Injili kutoka mkowa wa Kivu Kusini eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambako vijana wadogo wameanza kujitokeza na kufanya sanaa ya muziki wa Injili, kuepukana na umasikini lakini pia hofu ya mapigano ya mara kwa mara katika eneo hilo. Ungana na Steven Mumbi akizungumza na Kundi hilo.