Kenya: Rais Uhuru Kenyatta amwidhinisha Raila Odinga
Rais Uhuru Kenyatta ametangaza kumuunga mkono kiongozi wa upinzani wa muda mrefu Raila Odinga kuwa mrithi wake, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9. Hatua hii imekuja baada ya Kenyatta, kumtema naibu wake William Ruto ambaye amesema kiongozi huyo wa nchi, amemhadaa kisiasa. Tunachambua.
Kenya: Rais Uhuru Kenyatta amwidhinisha Raila Odinga
Rais Uhuru Kenyatta ametangaza kumuunga mkono kiongozi wa upinzani wa muda mrefu Raila Odinga kuwa mrithi wake, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9. Hatua hii imekuja baada ya Kenyatta, kumtema naibu wake William Ruto ambaye amesema kiongozi huyo wa nchi, amemhadaa kisiasa. Tunachambua.