Jua Haki Zako

Kenya : Ukeketaji bado changamato Africa


Listen Later

Katika maeneo ya wafugaji wa kuhamahama nchini Kenya, mila na

desturi bado zinaonekana kupewa kipaumbele kuliko elimu – hali

inayowafanya wasichana kuwa katika hatari kubwa ya kukeketwa.

 

Wasichana wengi hukatizwa masomo na kulazimishwa kufuata

tamaduni zinazokiuka haki zao, huku ukeketaji ukiendelea kufanywa

kwa usiri mkubwa licha ya juhudi za serikali na wadau kutoa elimu

na kupiga marufuku tendo hilo.

 

Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa

ukeketaji wa wasichana na wanawake wenye umri wa miaka 15

hadi 49 bado ni tatizo linaloripotiwa nchini Kenya.

Katika makala haya  tunaangazia namna tamaduni

hizi zimeendelea kushamiri katika jamii za wafugaji wa kuhama

hama na jinsi zinavyomnyima mtoto wa kike haki yake ya kupata

elimu na kuishi bila unyanyasaji.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Jua Haki ZakoBy RFI Kiswahili


More shows like Jua Haki Zako

View all
Habari zote by RFI Kiswahili

Habari zote

0 Listeners

Habari RFI-Ki by RFI Kiswahili

Habari RFI-Ki

0 Listeners

Afrika Ya Mashariki by RFI Kiswahili

Afrika Ya Mashariki

0 Listeners

Changu Chako, Chako Changu by RFI Kiswahili

Changu Chako, Chako Changu

0 Listeners

Nyumba ya Sanaa by RFI Kiswahili

Nyumba ya Sanaa

0 Listeners

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii by RFI Kiswahili

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

0 Listeners

Wimbi la Siasa by RFI Kiswahili

Wimbi la Siasa

0 Listeners

Gurudumu la Uchumi by RFI Kiswahili

Gurudumu la Uchumi

0 Listeners

Siha Njema by RFI Kiswahili

Siha Njema

0 Listeners

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho by RFI Kiswahili

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

0 Listeners

Jukwaa la Michezo by RFI Kiswahili

Jukwaa la Michezo

0 Listeners

Muziki Ijumaa by RFI Kiswahili

Muziki Ijumaa

0 Listeners

Talisman Brisé by RFI Kiswahili

Talisman Brisé

0 Listeners