Upinzani nchini Kenya umeitisha maandamano ya siku tatu wiki hii kupinga kile wanachosema ni kupanda kwa gharama ya maisha, ukitaka serikali ya rais William Ruto kushugulikia suala hilo kwa dharura.
Upinzani nchini Kenya umeitisha maandamano ya siku tatu wiki hii kupinga kile wanachosema ni kupanda kwa gharama ya maisha, ukitaka serikali ya rais William Ruto kushugulikia suala hilo kwa dharura.