Mashindano ya riadha ya dunia yaanza nchini Hungary
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na kuanza kwa mashindano ya riadha ya dunia, jijini Budapest. Kocha wa mchezo wa soka nchini Uganda, Sam Timbe ameaga dunia. Mechi za kufuzu hatua ya makundi michuano ya CAF, LALIGA kuweka mipango ya vilabu vyake kuzuru Afrika Mashariki pamoja na Luciano Spalletti kutajwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Italia.
Mashindano ya riadha ya dunia yaanza nchini Hungary
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na kuanza kwa mashindano ya riadha ya dunia, jijini Budapest. Kocha wa mchezo wa soka nchini Uganda, Sam Timbe ameaga dunia. Mechi za kufuzu hatua ya makundi michuano ya CAF, LALIGA kuweka mipango ya vilabu vyake kuzuru Afrika Mashariki pamoja na Luciano Spalletti kutajwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Italia.