Miongoni mwa yale tunayokuletea kwenye Jukwaa la Michezo ni pamoja na kuahirishwa kwa mchezo wa ligi kuu ya soka nchini Tanzania miongoni mwa matukio mengine kama mashindano ya kukimbiza magari yaendayo kwa kasi Langalanga.
Miongoni mwa yale tunayokuletea kwenye Jukwaa la Michezo ni pamoja na kuahirishwa kwa mchezo wa ligi kuu ya soka nchini Tanzania miongoni mwa matukio mengine kama mashindano ya kukimbiza magari yaendayo kwa kasi Langalanga.