Muziki wa Reggae ni Sanaa iliyofifia nchini Tanzania, miongoni mwa sababu zinazotajwa ni pamoja na kudorora kwa matamasha ya muziki huo, Steven Mumbi anazungumza na Paul Mihambo mwanamuziki wa Reggae nchini humo.
Muziki wa Reggae ni Sanaa iliyofifia nchini Tanzania, miongoni mwa sababu zinazotajwa ni pamoja na kudorora kwa matamasha ya muziki huo, Steven Mumbi anazungumza na Paul Mihambo mwanamuziki wa Reggae nchini humo.