Wakati mchezo wa masumbwi ukizidi kukua kwa kasi katika nchi za afrika mashariki, nchini Tanzania kufanya vizuri kwa mabondia kadhaa wakizazi kipya kama vile Hassan Mwakinyo,Kkarim Mandonga, Twaha Kiduku na wengine kadhalika kumezidi kusisimua wasichana na wanawake kuanza kujikita katika mchezo huu…
Wakati mchezo wa masumbwi ukizidi kukua kwa kasi katika nchi za afrika mashariki, nchini Tanzania kufanya vizuri kwa mabondia kadhaa wakizazi kipya kama vile Hassan Mwakinyo,Kkarim Mandonga, Twaha Kiduku na wengine kadhalika kumezidi kusisimua wasichana na wanawake kuanza kujikita katika mchezo huu…