Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, ameitisha maandamano kulalamikia kupanda kwa gharama ya maisha na kuipinga serikali ya rais William Ruto kwa kile anachosema hakushinda uchaguzi wa urais wa mwaka uliopita. Nini suluhu ?
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, ameitisha maandamano kulalamikia kupanda kwa gharama ya maisha na kuipinga serikali ya rais William Ruto kwa kile anachosema hakushinda uchaguzi wa urais wa mwaka uliopita. Nini suluhu ?