Brenda Fassie ni Miongoni mwa Wasanii walioibua kipaji cha Msanii Pilisila Said maarufu Akanana,baada ya kupotea kwa muda wa miaka zaidi ya 15 sasa amereja na Albam, Ungana na Steven Mumbi Katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.
Brenda Fassie ni Miongoni mwa Wasanii walioibua kipaji cha Msanii Pilisila Said maarufu Akanana,baada ya kupotea kwa muda wa miaka zaidi ya 15 sasa amereja na Albam, Ungana na Steven Mumbi Katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.