Uasi wa kiongozi wa wapiganaji mamluki wa Wagner Yevgeny Prigozhin, nchini Urusi.
Juma hili msikilizaji tunatupia jicho matukio ya mwishoni mwa juma lililopita nchini Urusi, ambapo kiongozi wa kundi la wapiganaji, mamluki wa Wagner, Yevgeny Prigozhin, alitekeleza kitendo kilichotajwa kama uasi, baada yake kuongoza wapiganaji wake kuuteka mji wa Rostov-on-Don kusini, na kisha kusonga mbele kabla ya kusitisha mpango wao wa kufika Moscow.
Uasi wa kiongozi wa wapiganaji mamluki wa Wagner Yevgeny Prigozhin, nchini Urusi.
Juma hili msikilizaji tunatupia jicho matukio ya mwishoni mwa juma lililopita nchini Urusi, ambapo kiongozi wa kundi la wapiganaji, mamluki wa Wagner, Yevgeny Prigozhin, alitekeleza kitendo kilichotajwa kama uasi, baada yake kuongoza wapiganaji wake kuuteka mji wa Rostov-on-Don kusini, na kisha kusonga mbele kabla ya kusitisha mpango wao wa kufika Moscow.