Tukio la juma hili la ubaguzi wa rangi dhidi ya mchezaji wa Real Madrid ya Uhispania na timu ya taifa ya Brazil, Vinicius Junior, limeamsha hisia kali, wadau wakitaka hatua kali kuchukuliwa. Tayari watu kadhaa wamekamatwa.Msikilizaji Unafaikiri nini suluhu ili kukomesha matukio kama haya kwenye michezo?FIFA inapaswa kufanya nini kuhakikisha sheria zilizoko zinafanya kazi? Kupata majibu ya maswali haya ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka akizungumza na wasikilizaji