Leo tunaangazia changamoto za utunzaji mazingira nchini Tanzania, tukijikita huko mkoani Kigoma magharibi mwa nchi hiyo. Kama baadhi ya wadau wa mazingira walioko wilayani Kibondo watakavyobainisha, kwasasa mazingira yanaharibiwa kwa kiwango kikubwa na kupelekea wadau kuweka wazi kilio chao.
Leo tunaangazia changamoto za utunzaji mazingira nchini Tanzania, tukijikita huko mkoani Kigoma magharibi mwa nchi hiyo. Kama baadhi ya wadau wa mazingira walioko wilayani Kibondo watakavyobainisha, kwasasa mazingira yanaharibiwa kwa kiwango kikubwa na kupelekea wadau kuweka wazi kilio chao.