Katika ukanda wa Afrika mashariki muziki wa kizazi kipya ndio wenye kubamba kutoka pembe mbalimbali nchini Tanzania ukiitwa Bongo fleva ukiwa na maadhi tofauti tofauti kama ilivyo kwa muziki wa genge nchini Kenya
Katika ukanda wa Afrika mashariki muziki wa kizazi kipya ndio wenye kubamba kutoka pembe mbalimbali nchini Tanzania ukiitwa Bongo fleva ukiwa na maadhi tofauti tofauti kama ilivyo kwa muziki wa genge nchini Kenya