Wimbi la Siasa

Viongozi wa EAC wataka M23 kuachilia maeneo, viongozi wa AU wapinga mapinduzi Afrika


Listen Later

Makala ya Wimbi la siasa imeaangazia kauli ya viongozi wa EAC waliokutana huko Addis Ababa Ethiopia  walithibitisha kuunga mkono michakato ya Luanda na Nairobi ambayo inawataka waasi wa M23 Huko DRC kusitisha mapigano na kuondoka katika maeneo wanayoyashikilia, katika sehemu ya pili viongozi wa Afrika walisisitiza msimamo wao wa kutovumilia njia zisizo za kidemokrasia, kuchukua madaraka wakijadili hali ya mapinduzi ya kijeshi kule Burkina Faso, Guinea, Mali na Sudan..Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka akiwa na wageni wake: Francois Alwende, mchambuzi wa siasa akiwa Nairobi nchini Kenya, pia Hajji Kaburu mchambuzi akiwa Dar Es Salaam Nchini Tanzania
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Wimbi la SiasaBy RFI Kiswahili


More shows like Wimbi la Siasa

View all
Habari zote by RFI Kiswahili

Habari zote

0 Listeners

Habari RFI-Ki by RFI Kiswahili

Habari RFI-Ki

0 Listeners

Afrika Ya Mashariki by RFI Kiswahili

Afrika Ya Mashariki

0 Listeners

Changu Chako, Chako Changu by RFI Kiswahili

Changu Chako, Chako Changu

0 Listeners

Nyumba ya Sanaa by RFI Kiswahili

Nyumba ya Sanaa

0 Listeners

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii by RFI Kiswahili

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

0 Listeners

Gurudumu la Uchumi by RFI Kiswahili

Gurudumu la Uchumi

0 Listeners

Siha Njema by RFI Kiswahili

Siha Njema

0 Listeners

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho by RFI Kiswahili

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

0 Listeners

Jukwaa la Michezo by RFI Kiswahili

Jukwaa la Michezo

0 Listeners

Muziki Ijumaa by RFI Kiswahili

Muziki Ijumaa

0 Listeners

Jua Haki Zako by RFI Kiswahili

Jua Haki Zako

0 Listeners

Talisman Brisé by RFI Kiswahili

Talisman Brisé

0 Listeners