Nchini DRC, bunge la awamu ya nne 2024 hadi 2028, lilianza vikao vyake siku ya Jumatatu jijini Kinshasa kwa kuwatambulisha wabunge wapya waliochaguliwa.Wananchi wa DRC watarajie nini kutoka kwa bunge hili ? Unadhani sera ya kususia vikao kwa wabunge wa upinzani ni chaguo bora ?
Nchini DRC, bunge la awamu ya nne 2024 hadi 2028, lilianza vikao vyake siku ya Jumatatu jijini Kinshasa kwa kuwatambulisha wabunge wapya waliochaguliwa.Wananchi wa DRC watarajie nini kutoka kwa bunge hili ? Unadhani sera ya kususia vikao kwa wabunge wa upinzani ni chaguo bora ?