Wasanii kutoka Lubumbashi wajiandaa na mchezo wa kuigiza Bienvenue a Walikale
Karibu katika makala Changu chako chako changu ambapo Jumapili hii tunaelekea Mjini Lubumbashi kuzungumzia mchezo wa kuigiza Bienvenue à Walikale, na kwenye le parler francophone tutaangazia kuhusu walichokuandalia Alliance Francaise ya Nairobi na Dar es salaam pamoja na Institut Français ya Lubumbashi na kwenye Muziki nitakuletea kibao chake mwanamuziki Zuchu napambana. Mimi naitwa Ali Bilali bienvenue.
Wasanii kutoka Lubumbashi wajiandaa na mchezo wa kuigiza Bienvenue a Walikale
Karibu katika makala Changu chako chako changu ambapo Jumapili hii tunaelekea Mjini Lubumbashi kuzungumzia mchezo wa kuigiza Bienvenue à Walikale, na kwenye le parler francophone tutaangazia kuhusu walichokuandalia Alliance Francaise ya Nairobi na Dar es salaam pamoja na Institut Français ya Lubumbashi na kwenye Muziki nitakuletea kibao chake mwanamuziki Zuchu napambana. Mimi naitwa Ali Bilali bienvenue.