Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 3/3 ni Jumapili ya 3 wakati wa Kwaresima, ukurasa 91 katika kitabu cha sala.
Kwenye hiyo sehemu ya pili, tunafundisha wazo kuu la siku, kujitenga na uovu, pamoja na mazungumzo mazuri katika wazo la toba, na kujuta, kusikitika, na juu ya jambo la kuwaita watu waokoke kwa kufuatisha sala ya toba. Pia na Mike anafundisha katika 1 Wakorintho 10:1–13.
Katika sehemu ya kwanza iliyotangulia tunatoa mafundisho katika Luka 13:1–9 na tunajadiliana jambo la mateso, maafa, adhabu na dhambi. Mike anasema kidogo katika Zaburi 103:1–13 na Kutoka 3:1–15.
Karibu!
This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com